Thursday 26 June 2014

WORLD CUP 2014: GHANA YATIMUA WACHEZAJI WAKE WAWILI



Ghana imetimua wachezaji wake wawili kwa utovu wa nidhamu...Wachezaji hao ni Kevin-Prince Boateng na Sully Muntari...Boateng amesimamishwa kwa lugha chafu dhidi ya kocha wao Appiah......Muntari amesimamishwa kwa kumuumiza Moses Armah mjumbe wa kamati ya timu hiyo....Woto wawili wamesimamishwa moja kwa moja kutokana vitendo vyao hivyo vya utovu wa nidhamu...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment