Saturday 21 June 2014

WORLD CUP 2014: SAJO NA WADAU NDANI YA BRAZIL

Mdau Sajo Kibonde na Wasia Mushi wakiwa na bendera ya Tanzania wakituwakilisha vyema huko Brazil...Safi sana wadau...

Sajo Kibonde (kushoto) na Wasia Mushi (wa 4 kutoka kushto) wakiwa na wenyeji wao huko Brazil - Picha kwa hisani ya Materi a.k.a Bucha

No comments:

Post a Comment