Thursday 19 June 2014

WORLD CUP 2014: NETHERLANDS WATOLEWA JASHO NA AUSTRALIA



Netherlands jana walikimbizwa na Australia ambayo ni timu yenye rank ya chini kuliko zote kwenye World Cup ya mwaka huu...Katika uwanja wa Beira Rio Australia walicheza mpira mzuri sana bila kuogopa mtu na Netherlands walikuwa wanasali mpira uishe maana kuna kipindi walikuwa nyuma 2-1 na Van Persie alirudisha bao wakawa sawa... Tim Cahill ambaye sasa anacheza soka huko Marekani alipachika bao zuri sana...Netherlands inabidi wajipange maana hii World Cup sio ya mzaha kabisa...Bofya hapa usome zaidi....

No comments:

Post a Comment