Thursday 26 June 2014

WORLD CUP 2014: BREAKING NEWS; SUAREZ AFUNGIWA MIEZI 4


Luis Suarez amefungiwa miezi 4 kwa kumg'ata mchezaji wa timu ya Italy Giorgio Chiellini....Suarez ambaye anachezea Uruguay na Liverpool amesimamishwa kwenye shughuli zote zinazohusu mpira kwa miezi 4...Pia amepigwa faini ya pound za Uingereza 65,680 na atakosa mechi 9 za Premiership ya Uingereza....Hii ni adhabu kubwa sana ambayo ni historia katika World Cup....Mara ya mwisho mtu kapewa adhabu ni 1994 baada ya Mauro Tassotti kumpiga kipepsi Luis Enrique...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment