FA Cup ya wanawake imemalizika kwa timu ya Arsenal kuchukua kombe tena...Arsenal iliichapa Everton 2-0 katika mechi ambayo ilikuwa rahisi sana kwa timu ya wanawake ya Arsenal...Kelly Smith alianza kuona lango la Everton mapema na badae alipata nafasi ya kumsukumizia Yukari Kinga mpira na hatimaye kupachika goli...Bofya upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 2 June 2014
WOMENS FA CUP FINALS: TIMU YA WANAWAKE YA ARSENAL YANYAKUA KOMBE
FA Cup ya wanawake imemalizika kwa timu ya Arsenal kuchukua kombe tena...Arsenal iliichapa Everton 2-0 katika mechi ambayo ilikuwa rahisi sana kwa timu ya wanawake ya Arsenal...Kelly Smith alianza kuona lango la Everton mapema na badae alipata nafasi ya kumsukumizia Yukari Kinga mpira na hatimaye kupachika goli...Bofya upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment