Monday 2 June 2014

WOMENS FA CUP FINALS: TIMU YA WANAWAKE YA ARSENAL YANYAKUA KOMBE


FA Cup ya wanawake imemalizika kwa timu ya Arsenal kuchukua kombe tena...Arsenal iliichapa Everton 2-0 katika mechi ambayo ilikuwa rahisi sana kwa timu ya wanawake ya Arsenal...Kelly Smith alianza kuona lango la Everton mapema na badae alipata nafasi ya kumsukumizia Yukari Kinga mpira na hatimaye kupachika goli...Bofya upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment