Monday 23 June 2014

WORLD CUP 2014: USA YASHINDWA KUIFUNGA PORTUGAL


Varela alipokea cross ya Cristiano Ronaldo na kupachika bao dakika ya mwisho ya mechi  na kuharibu kabisa sherehe za USA za kusonga mbele kwenye 16 bora...Nani aliwaweka Portugal mbele mapema kwenye dakina ya 5 tu...



Badae sana Jermain Johns alisawazisha na dakika 9 kabla ya mchezo kuisha Clint Dempsey ambae ni supa staa wa USA alipachika bao...Portugal ilikuwa watolewe lakini walikomaa na lazima walishukuru muda wa nyongeza ulikuwa mwingi...


Sasa Group G iko wazi na wote wana nafasi ya kusonga mbele...Kazi ipo...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment