Thursday 19 June 2014

ATHLETICS: JUSTIN GATLIN ANAONGOZA KWA MBIO 2014


Justin Gatlin, bingwa wa kukimbia na mshindi wa medani ya dhahabu katika Olympics za 2004, alikimbia mbio za mita 100 kwa kutumia sekunde 9.86 jana.... Mpaka sasa anaongoza mwaka huu kwa kuwa mtu mwenye spidi kuliko wote...Gatling alikimbia  kwenye mashindano ya Golden Spike huko Czech Republic...

No comments:

Post a Comment