Sunday 15 June 2014

WORLD CUP 2014: IVORY COAST YAANZA VYEMA KWA KUICHAPA JAPAN




Ivory Coast imekuwa nchi ya kwanza ya kutoka Africa kushinda game yake ya kwanza hapo Arena Pernambuco...Ivory Coast iliichapa Japan 2-1...Japan ndio walianza kufunga bao na aliyefunga ni Keisuke honda...kipindi cha kwanza kilikri kwa timu zote mbili kwani Japan walishambulia sana lango la Ivory Coast na badaae kibao kikageuka...


Kipindi cha kwanza Didier drogba alikuwa benchi na alipoingia tu game ikabadilika na Ivory Coast ikapata mwamko mpya...Mbony alipachika bao baada ya cross kutoka kwa Serge Aurier dakika ya 64...Dakika 2 tu baadae Gervinho alipachika la pili...Hii ni mara ya 3 Ivory Coast wanacheza World Cup na hawajawahi kwenda mbele ya group stage...Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment