Monday 30 June 2014

WORLD CUP 2014: COSTA RICA WASONGA MBELE

 
Bryan Ruiz akipachika bao

Costa Rica imesonga mbele kwenye michuano ya World Cup baada ya kuichapa Greece 5-3 kwenye matuta...Costa Rica walicheza vizuri na pia walikuwa chini mtu mmoja kwa zaidi ya saa moja baada ya Oscar Duarte kutolewa...Bao lilipatikana dakika ya 52 baada ya Bryan Ruiz kupachika wavuni...Mwisho kabisa wakati dakika zinayoyoma Papastathopoulos (hawa jamaa na majina yao unaweza kupaliwa wakati unayataja) alisawazisha...
 
Kipa wa Costa Rica Keylor Navas akipangua penalty

Baaa ya hapo ilikuwa ni matuta tu...Game haikuwa kali sana kama ile ya Netherlands na Mexico lakini kwa kuwa walifika mpaka matuta ilitosa kwa mashabiki na watazamaji kwa ujumla...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment