Wednesday 25 June 2014

WORLD CUP 2014: SUAREZ MATATANI TENA


Suarez anatarajiwa kushtakiwa na FIFA kutokana na kitendo chake cha kumng'ata Chiellini begani kwenye mechi iliyochezwa jana usiku kati ya Uruguay na Italy....Hii ni mara ya 3 Suarez anafanya hicho kitendo na sasa FIFA wamesikitishwa na wamemwambia Suarez na Uruguay kuja na uthibitisho ifikapo leo jumatano usiku...Suarez anatatizo hili siku nyingi na pia alifungiwa mechi nyingi Premiership wakati akiwa na Liverpool...FIFA wanauwezo wa kumfungia Suarez miaka miwili...Kwa mtazamo wa wengi Suarez ni mpuuzi au kichwa chake kibovu na anatakiwa apate matibabu ya akili na aache kucheza kabisa...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment