Monday 30 June 2014

WORLD CUP 2014: NETHERLANDS YASHINDA KWA TABU SANA

Giovani dos Santos akipachika bao

Netherlands ilishind amechi yake dhidi ya Mexico kwa shida sana na pia imeonekana walibebwa na refa baada ya Robben kujirusha ndani ya 18...Mechi ilikuwa kali sana kwani Mexico waliwakimbiza sana Netherlands na hatimaye kupata bao dakika ya 48...dos Santos ndiye aliyepachika bao safi...Netherlands nao hawakuwa vilza kwani nao walijitahidi sana hasa Robben na Super-Sub Klaas...
 
Sneijder akiwaokoa Netherlnds

Netherlands waliweza kusawazisha dakika ya 88 kupitia kwa Sneijder...Klaas aliweza kuingia dakika ya 76 na kuisaidia sana Netherlands kwani walizidiwa...Mwishoni Netherlands walichangamka kidogo na ndipo Robben alipojirusha na refa akagawa penalty na kadi...Netherlands wanajua hiyo mechi hawakustahili ushindi...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment