Saturday 14 June 2014

WORLD CUP 2014: COLOMBIA YAICHAPA GREECE


Colombia imepata points 3 za uhakika baada ya kuichapa Greece mabao 3-0...Pablo Armero wa kutoka Napoli ambae yuko West Ham kwa mkopo ndio aliye pachika la kwanza mwanzoni...


Gutierrez ambae ni forward aliyechukua nafasi ya Ramadel Falcao aliweza kupata bao la 2 baada ya kona kutoka kwa James Rodriguez...Huyo Rodriguez aliweza kufunga la 3 dakika za nyingeza...Usikuose mechi ya Italy na England badae usiku huu...

No comments:

Post a Comment