Saturday 28 June 2014

YANGA: MAXIMO ASEMA ATAIWEKA YANGA KWENYE RAMANI YA DUNIA


Maximo kocha mpya wa Yanga amesema ataiweka Yanga kwenye ramani ya dunia....Maximo ambae alikuwa kocha wa Taifa Stars amesema hayo akiwa hapo Jangwani wakati akitoa mikakati yake ya kuifundisha Yanga...Maximo amekamata mkataba wa miaka miwili...Maximo liwaambia waandishi wa habari kwamba TP Mazembe ya DRC Congo wanafahamika sana kwasababu wanacheza sana mechi za kimataifa la hasha na Yanga itajulikana hivyo hivyo...Bofya hapa upate habari kamili kutoka Jangwani...

No comments:

Post a Comment