Friday 20 June 2014

WORLD CUP 2014: ROY HODGSON AGOMA KUJIUZULU


Kocha wa England amegoma kujiuzulu baada ya kuchapwa na Uruguay 2-1...Sasa England ina hali tete sasa kwani nafasi ya kuingia kwenye mtoano imekuwa finyu sana...Hii haijawahi kutokea kwa England kuondoka mapema toka 1954...England sasa wanasubiri game ya Italy na Costa Rica...Italy wakishinda England itasonga mbele...Pata habari zaidi hapa...

No comments:

Post a Comment