Friday 27 June 2014

WIMBLEDON 2014: SERENA NA SHARAPOVA WAINGIA ROUND YA 3


Serena Williams ambae amewahi kushinda michuano hiyo mikali mara 5 ameingia round ya 3 baada yakuchapa Chanelle Cheepers (namba 94 duniani) kutoka Afrika ya Kusini 6-1 6-1...Mechi ilitumia dakika 49 tu...Pia Maria Sharapova ameingia round ya 3 baada yakumtwanga Timea Bacsinszky 6-2 6-1...Maria alisema mechi haikuwa rahisi lakini amefurahi amesonga mbele...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment