Serena Williams ambae amewahi kushinda michuano hiyo mikali mara 5 ameingia round ya 3 baada yakuchapa Chanelle Cheepers (namba 94 duniani) kutoka Afrika ya Kusini 6-1 6-1...Mechi ilitumia dakika 49 tu...Pia Maria Sharapova ameingia round ya 3 baada yakumtwanga Timea Bacsinszky 6-2 6-1...Maria alisema mechi haikuwa rahisi lakini amefurahi amesonga mbele...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 27 June 2014
WIMBLEDON 2014: SERENA NA SHARAPOVA WAINGIA ROUND YA 3
Serena Williams ambae amewahi kushinda michuano hiyo mikali mara 5 ameingia round ya 3 baada yakuchapa Chanelle Cheepers (namba 94 duniani) kutoka Afrika ya Kusini 6-1 6-1...Mechi ilitumia dakika 49 tu...Pia Maria Sharapova ameingia round ya 3 baada yakumtwanga Timea Bacsinszky 6-2 6-1...Maria alisema mechi haikuwa rahisi lakini amefurahi amesonga mbele...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment