Serena Williams ambae amewahi kushinda michuano hiyo mikali mara 5 ameingia round ya 3 baada yakuchapa Chanelle Cheepers (namba 94 duniani) kutoka Afrika ya Kusini 6-1 6-1...Mechi ilitumia dakika 49 tu...Pia Maria Sharapova ameingia round ya 3 baada yakumtwanga Timea Bacsinszky 6-2 6-1...Maria alisema mechi haikuwa rahisi lakini amefurahi amesonga mbele...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎.
Friday, 27 June 2014
WIMBLEDON 2014: SERENA NA SHARAPOVA WAINGIA ROUND YA 3
Serena Williams ambae amewahi kushinda michuano hiyo mikali mara 5 ameingia round ya 3 baada yakuchapa Chanelle Cheepers (namba 94 duniani) kutoka Afrika ya Kusini 6-1 6-1...Mechi ilitumia dakika 49 tu...Pia Maria Sharapova ameingia round ya 3 baada yakumtwanga Timea Bacsinszky 6-2 6-1...Maria alisema mechi haikuwa rahisi lakini amefurahi amesonga mbele...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment