Friday 27 June 2014

RIADHA: GLASGOW 2014 MICHEZO YA COMMONWEALTH HUSSAIN BOLT ATAKUWEPO


Hussain Bolt bingwa wa riadha duniani kutoka Jamaica amesema atashiriki michuano ya Commonwealth huko Glasgow...Michuano hiyo ya ridha itafanyika tarehe 23 July mpaka 3 August...Toka Bolt aumie hajakimbia kwenye mashindano mengi makubwa hivi karibuni na anaweza asikimbie kwenye mashindanio ya mita 100 na mita 200 lakini atakimbia kwenye relay...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment