Hussain Bolt bingwa wa riadha duniani kutoka Jamaica amesema atashiriki michuano ya Commonwealth huko Glasgow...Michuano hiyo ya ridha itafanyika tarehe 23 July mpaka 3 August...Toka Bolt aumie hajakimbia kwenye mashindano mengi makubwa hivi karibuni na anaweza asikimbie kwenye mashindanio ya mita 100 na mita 200 lakini atakimbia kwenye relay...Bofya hapa usome zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 27 June 2014
RIADHA: GLASGOW 2014 MICHEZO YA COMMONWEALTH HUSSAIN BOLT ATAKUWEPO
Hussain Bolt bingwa wa riadha duniani kutoka Jamaica amesema atashiriki michuano ya Commonwealth huko Glasgow...Michuano hiyo ya ridha itafanyika tarehe 23 July mpaka 3 August...Toka Bolt aumie hajakimbia kwenye mashindano mengi makubwa hivi karibuni na anaweza asikimbie kwenye mashindanio ya mita 100 na mita 200 lakini atakimbia kwenye relay...Bofya hapa usome zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment