Tuesday 17 June 2014

YANGA: MPONDELA KUZIKWA KESHO KUTWA KINONDONI


Katibu Mkuu wa zamakni wa YANGA marehemu George 'Castro' Mpondela aliyefariki kutokana na kuugua ugonjwa wa Moyo anatarajiwa kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni Alhamisi ijayo...Kwa habari zilizoingia Max Sports hivi punde ni kwamba mwili wa marehemu utalala nyumbani kwake kesho huko Kigamboni na Alhamisi kutakuwa na misa heshima za mwisho Kanisa Katoliki Muhimbili saa 7 na baada ya hapo atapelekwa kupumzika katika makaburi ya Kinondoni...Apumzike kwa Amani...

No comments:

Post a Comment