Tuesday 24 June 2014

WIMBLEDON 2014: ANDY MURRAY AANZA VIZURI

  
Andy Murray ameanza vizuri safari yake yuwania tena ubingwa wa Wimbledon mwaka huu...Murray ambae ni bingwa mtetezi aliingia kwenye court akishangiliwa sana na mashabiki na wadau wa Tennis...Murray amemfunga David Goffin 6-1 6-4 7-5...Atacheza na Blaz Rola kwenye round ya 2...

No comments:

Post a Comment