Saturday 21 June 2014

MAZOEZI: GYM MPYA NA YA KISASA IMEFUNGULIWA UPANGA

Just Fitness ni Gym mpya na yenye vifaa vya kisasa imefunguliwa Upanga mtaa wa Mindu opposite Richmond Appartments...Karibuni wadau wote...Ukiwa unatoka kazini na hautaki kukaa kwenye foleni zetu za Dar basi unakaribshwa ufanye mazoezi...Walimu waliobobea katika mazoezi na pia waliobobeea katika mafunzo ya kuogelea pia wapo...Mazoezi ni muhimu sana kwa afya yako... Pata picha hapo chini za Just Fitness...










Karibuni wote...

No comments:

Post a Comment