Saturday 28 June 2014

EPL: LUKE SHAW AINGIA OLD TRAFFORD


Luke Shaw beki mkali kutoka Southampton na pia anaichezea timu ya taifa ya Uingereza amechukuliwa na Manchester United kwa pound za Uingereza milioni 27 kwa kuanzia...Dau litapanda kutoka milioni 27 mpaka milioni 31 pound za Uingereza kutokana na uchezaji wake...Luke Shaw mwenye umri wa miaka 18 atakuwa dogo tajiri sana...Ryan Giggs ambae ni kocha msaidizi wa Man United amesema huyu beki wa kushoto anakipaji na anauwezo wa kuwa mchezaji bora...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment