Tuesday 17 June 2014

GOLF: KINARA WA GOLF TANZANIA NURU MOLLEL ASHINDA HUKO ARUSHA


Nuru Mollel kijana mkali sana katika mchezo wa Golf nchini Tanzania ameshinda michuano mikali ya K.N.L. Legal Golf Tournament huko Arusha Gymkhana Club (AGC)...Mollel alipata score ya -4 (four-under) 40 points...Katika mashindano haya makali yaliyotumia mfumo ya stable ford Mollel alimpita Fransis Julius ambaye alikuwa wa 2 na wa 3 alikuwa Peniel Uriwa...Bofya zaidi hapa upate mambo zaidi...

No comments:

Post a Comment