Monday 23 June 2014

F1: LEWIS HAMILTON ASHIKA NAFASI YA 2 BAADA YA KUANZA WA 9


Nico Rosberg kutoka timu ya Mercedes amechukua Austrian Grand Prix...Nico akishindana na na mwenzake Lewis Hamilton aliwez kushinda ingawa Lewis ndio aliyefanya kazi sana kutoka wa 9 mpaka wa 2...Valtteri Bottas alikuwa wa 3 na ni mara yake ya kwanza kufika top 3...Massa alichukua nafasi ya 4...GP imerudi Austria toka 2003 katika uwanja wa Red Bull zamani ulikuwa unaitwa A1-Ring kabla ya kununuliwa na Red Bull...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment