Nico Rosberg kutoka timu ya Mercedes amechukua Austrian Grand Prix...Nico akishindana na na mwenzake Lewis Hamilton aliwez kushinda ingawa Lewis ndio aliyefanya kazi sana kutoka wa 9 mpaka wa 2...Valtteri Bottas alikuwa wa 3 na ni mara yake ya kwanza kufika top 3...Massa alichukua nafasi ya 4...GP imerudi Austria toka 2003 katika uwanja wa Red Bull zamani ulikuwa unaitwa A1-Ring kabla ya kununuliwa na Red Bull...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe ๐!
Monday, 23 June 2014
F1: LEWIS HAMILTON ASHIKA NAFASI YA 2 BAADA YA KUANZA WA 9
Nico Rosberg kutoka timu ya Mercedes amechukua Austrian Grand Prix...Nico akishindana na na mwenzake Lewis Hamilton aliwez kushinda ingawa Lewis ndio aliyefanya kazi sana kutoka wa 9 mpaka wa 2...Valtteri Bottas alikuwa wa 3 na ni mara yake ya kwanza kufika top 3...Massa alichukua nafasi ya 4...GP imerudi Austria toka 2003 katika uwanja wa Red Bull zamani ulikuwa unaitwa A1-Ring kabla ya kununuliwa na Red Bull...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment