Saturday 14 June 2014

WORLD CUP 2014: NETHERLANDS YAIGARAGAZA VIBAYA SPAIN



Netherlands wameshangaza dunia kwa akufanya kitu ambacho hakijafanywa kwa kuchapa mabingwa watetezi kwa mabao 5 - 1...Spain ndio walioanza kuona lango kutokana na penalty aliyefunga Xabi Alonzo dakika ya 27...Robin Van Persie alichangamka na kuchapa kichwa cha kurukia kabla ya half-time...



Muda mfupi baada ya kuanza kipindi cha 2 Arjen Robben aliwaweka Netherlands mbele...Free-kick kutoka kwa Wesley Sneijder ilimkuta Stefan de Vrij na kuandika bao la 3...Van Persie alimtoka kipa dakika ya 72 na kuandika bao la 4 ubaoni...Robben akapachika bao la mwisho dakika ya 80 kwa juhudi zake mwenyewe...



Spain mara ya mwisho kuchapwa 5 ilikuwa mwaka 1963...Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment