Wednesday 18 June 2014

SQUASH: HUDHAIFA ASHRAF ASHINDA JUNE DAR GHYMKHANA CLUB JUNIOR BELL

Ashraf akipokea zawadi kutoka kwa Mr. Marwa Busigara

anayejitahidi sana Hudhaifa Ashraf ameshinda michuani ya mwezi wa June...Ashraf pia alikuwa mshindi ya muchuano ya mwezi May...Nafasi ya 2 ilichukuliwa na dogo mwingine mkali Fadhili Ally...
 
Fadhili Ally akipokea zawadi


Junior Bell ya mwezi huu imekuwa kivutio kikubwa sana na hasa pia support ya familia ya walioshiriki imesaidia sana...Hongera kwa washindi na walioshiriki...

No comments:

Post a Comment