Wednesday 25 June 2014

NBA: LEBRON JAMES AMEAMUA KUWA FREE AGENT



LeBron James wa Miami Heat ameamua kuwa free agent kuanzia July 1 na inawezekana asichezee tena Miami Heat...Kuwa free agent anauhuru wa kuichezea timu yoyote tutokana na makubaliano baina yake na hiyo timu...Habazr hizi zilitolewa na agent wa LeBron  Rich Paul ambae aliwataarifu Miami Heat kwamba mchezaji wake ameamua kuwa free agent...Kuwa free agent haiwezi kumzuia LeBron kuendelea kuichezea Miami Heat ambayo ilipoteza ubingwa kwa San Antonio Spurs...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment