Monday 23 June 2014

TFF: SIMBA RUKSA KUENDELEA NA UCHAGUZI


TFF wamewaruhusu Simba SC kuendelea na uchaguzi wao...Uchaguzi utafnyika Juni 29...Habari hizi zilitolewa na msemaji wa TFF bwana Boniface Wambura...Uamuzi huu ulikuwa baada ya Aden Rage kuiandikia TFF na kuiomba iwaruhusu waendelee na uchaguzi kama ilivyo pangwa...Rage alimwomba rais wa TFF asisitishe uchaguzi kwani kufanya hivyo utaleta sura mbaya kwenye club na nchini...Malinzi alisimamisha uchaguzi na kuwataka Simba watengeneze kamati ya uadilifu ndani ya club na hii imetokana na malalamiko mengi na pia sheria inasema club lazima ziwe na kamati ya uadilifu...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment