Monday 16 June 2014

WORLD CUP 2014: GERMANY YAICHAPA PORTUGAL 4


Germany imetoka kuigaragaza Protugal vibaya sana kwa bao 4-0... Thomas Muller alipata hat-trick leo...Wajerunani walijipanga sana na badae Portugal wakawa wana hasira na hii ilionyesha baada ya Muller kufanyiwa foul na Pepe na alivyukuwa chini Pepe alikuja karibu na kumgonga kichwa mwenzake ndio refa akaona atoe red card...Coentrao pia aliumia na kutolewa nje kwahiyo Portugal na Ronaldo walikuwa hawana tena nguvu....Hii ni hat-trick ya kwanza kwenye World Cup hii ambayo imejaa magoli mengi...Portugal na Ronaldo wao itabidi wakajipange kama kweli wanataka kushinda...Germany waliongoza possession 54%-46%...

No comments:

Post a Comment