Tuesday 17 June 2014

EPL: CHELSEA WANAMTAKA SANA TONI KROSS


Chelsea FC wamemwekea dau kijana matata mwenye umri wa miaka 24 Toni Kross  kutoka Bayern Munich na wanataka kumlipa 130,000 kwa mwezi pound za Uingereza... Wengine wanaomwania Toni ni Real Madrid na Manchester United....

No comments:

Post a Comment