Sunday 20 July 2014

F1: HAMILTON AIBUKA MSHINDI WA 3 WAKATI ALIANZA WA 20


Nico Rosberg amenyakua German GP...Gumzo nililikuwa kwa Hamilton leo jinsi alivyoonyesha umahiri wake wa kuendesha baada ya kuanza wa 20 kwenye grid na kumalizia wa 3...


Hamilton alianza wa 20 kutokana na ajali mbaya aliyoipata jana baada ya gari yake kupata matatizo ya breaks...Mshindi wa 2 alikuwa Bottas na mshindi wa 4 Sebastian Vettel...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment