Saturday 26 July 2014

GLASGOW 2014: BOLT ATAKIMBIA 4X100M


Husein Bolt bingwa washiriki mbio za riadha duniani amesema atashiriki mbio za 4x100m...Hii ni mara ya kwanza Bolt anashiriki michezo ya Commonwealth...Hii ni habari njema kwa wadau wa michezo kwani Bolt ni bingwa wa Olympic mara 6 na ataongeza hamasa kwa watazamaji na waandaaji wa michezo ya Commonwealth...Bolt alipotea kwa muda kutokana na kuumia mguu na sasa yuko fit kuwakilisha nchi yake ya Jamaica...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment