Saturday 26 July 2014

EPL: DROGBA ARUDI CHELSEA


Didier Drogba amerudi tena Stamford Bridge....Drogba ambae baada ya kutoka Galatasaray aliamua kuwa free agent sasa ataicheze timu yake ya zamani kwa transfer ambayo ilikuwa free...Jose kocha wa Chelsea amesema Drogba anakuja Chelsea kwasababu ni striker mkali sana Ulaya...Drogba aliichezea Chelsea mara 341 na kufung mabao 157...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment