Monday 28 July 2014

EPL: ARSENAL YASEMA OSPINA TAYARI


Arsenal FC imekamilisha usajili wa David Ospina kipa mkali sana kutoka Nice...Ospina ambae nchi yake ni Colombia atakaa Emirates miaka 4 na amechukuliwa kwa milioni 3.2 pounds...Ospina mwenye umri wa miaka 25 atakuwa karibu na kipa namba 1 wa Arsenal Sczcesny na itabidi apambane na yeye awe namba 1...Huyu ni mchezaji wa 3 kuingia Emirates mwaka huu...Arsenal nao wameamua kuchukua vifaa vya nguvu maana huwa ni wazito kutumia pesa nyingi kununua vifaa...Bofya hapa usome zaidi....

No comments:

Post a Comment