Arsenal FC imekamilisha usajili wa David Ospina kipa mkali sana kutoka Nice...Ospina ambae nchi yake ni Colombia atakaa Emirates miaka 4 na amechukuliwa kwa milioni 3.2 pounds...Ospina mwenye umri wa miaka 25 atakuwa karibu na kipa namba 1 wa Arsenal Sczcesny na itabidi apambane na yeye awe namba 1...Huyu ni mchezaji wa 3 kuingia Emirates mwaka huu...Arsenal nao wameamua kuchukua vifaa vya nguvu maana huwa ni wazito kutumia pesa nyingi kununua vifaa...Bofya hapa usome zaidi....
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 28 July 2014
EPL: ARSENAL YASEMA OSPINA TAYARI
Arsenal FC imekamilisha usajili wa David Ospina kipa mkali sana kutoka Nice...Ospina ambae nchi yake ni Colombia atakaa Emirates miaka 4 na amechukuliwa kwa milioni 3.2 pounds...Ospina mwenye umri wa miaka 25 atakuwa karibu na kipa namba 1 wa Arsenal Sczcesny na itabidi apambane na yeye awe namba 1...Huyu ni mchezaji wa 3 kuingia Emirates mwaka huu...Arsenal nao wameamua kuchukua vifaa vya nguvu maana huwa ni wazito kutumia pesa nyingi kununua vifaa...Bofya hapa usome zaidi....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment