Tuesday 22 July 2014

LA LIGA: REAL MADRID YAMNYAKUA MSHINDI WA GOLDEN BOOT


Real Madrid imechukua kifaa cha ukweli na mshindi wa Golden Boot kwenye World Cup iliyopita James Rodriguez...Forward huyu mwenye miaka 23 kutoka Colombia amechukuliwa kwa pound milioni 63...Hii transfer sasa ni ya 4 kwa pesa nyingi iliyotumika kumyakua mchezaji...Transfer ya bei mbaya ni ile ya Gareth Bale na kufuatiwa na Cristiano Ronaldo na Luis Suarez...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment