Tuesday 29 July 2014

GLASGOW 2014: BINGWA WA SQUASH DUNIANI ASHINDA DHAHABU


Bingwa wa Squash duniani na namba 1 duniani kwa upande wa wanawake ameshinda mashindano ya Squash kwenye michezo ya Commonwealth huko Glasgow Scotland...


Nicol David  alimchapa Laura Massaro 12-10, 11-2, 11-5...Nicol ni bingwa wa dunia kwa miezi 99 sasa na hii ni mara ya pili anashinda dhahabu kwenye michezo ya Commonwealth...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment