Wednesday 16 July 2014

EPL: ARSENAL WAKO TAYARI KUTOA MAMILIONI KUMCHUKUA KHEDIRA


Arsenal FC iko tayari kutoa milioni 20 pound za Uingereza kunyakua midfielder hatari sana kutoka Real Madrid Sami Khedira...Inasemakana Khedira atakubali mkataba wa miaka 4 na Arsenal...Arsene Wenger atakuwa ameimarisha kikosi kwa kusajili watu 2 sasa baada ya kumchukua Alexis Sanchez...Mjerumani Khedira inasemekana ameboreka na Real Madrid na amegoma kusaini mkataba mpya na timu hiyo...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment