Sunday 27 July 2014

BOXING: ROY JONES JR. AMTWANGA FRY


Roy Jones Jr. ameshinda pambano lake dhidi ya Courtney Fry huko Riga Latvia...Jones Jr. limtwanga Fry na kushinda kwa TKO baada ya Fry kishindwa kuendelea kutokana na kuchanika karibu na jicho...Pambano lilikuwa chini ya uzito wa cruiserweight...Jones ambae umri umeenda sasa anatakiwa kustaafu lakini ubishi wake umempa ushindi na kufikisha 58-8 (41KO's)...Jones anamkono mwepesi na alifnikiwa kupeleka Fry chini round ya 5 baada ya kurusha uppercut kali iliyomkuta na kumpa kizunguzungu Fry...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment