Sunday 20 July 2014

THE OPEN CHAMPIONSHIP: RORY MCLLROY BINGWA


Rory Mcllroy ashinda British Open leo baada ya kufukuziwa na Sergio Garcia na Rickie Fowler...Rory alishinda kwa stroke 2 na alipata 71 na ameondoka na kitita cha dola za kimarekani milioni 8...Dogo kutoka Ireland ya kaskazini ameshinda Major ya 3 sasa akiwa na miaka 25 tu...Rory sasa ni namba 2 duniani kwenye rankings za golf...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment