Tanzania imeanza vizuri kwenye mashindano ya kuogelea...Ammaar Ghadiyali alikuwa kinara wa kuogelea baada ya kushinda mzunguko wa kwanza wa mita 50 za Butterfly...Alitumia sekunde 28.11 na kuwaacha mbali wapinzani wake kutoka St. Vincent na Granadines...Usisahau kuangalia mashindano haya yanayoendelea huko Glasgow Scotland...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 25 July 2014
GLASGOW 2014: TANZANIA YAANZA VIZURI KWENYE SWIMMING
Tanzania imeanza vizuri kwenye mashindano ya kuogelea...Ammaar Ghadiyali alikuwa kinara wa kuogelea baada ya kushinda mzunguko wa kwanza wa mita 50 za Butterfly...Alitumia sekunde 28.11 na kuwaacha mbali wapinzani wake kutoka St. Vincent na Granadines...Usisahau kuangalia mashindano haya yanayoendelea huko Glasgow Scotland...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment