Friday 25 July 2014

GLASGOW 2014: TANZANIA YAANZA VIZURI KWENYE SWIMMING


Tanzania imeanza vizuri kwenye mashindano ya kuogelea...Ammaar Ghadiyali alikuwa kinara wa kuogelea baada ya kushinda mzunguko wa kwanza wa mita 50 za Butterfly...Alitumia sekunde 28.11 na kuwaacha mbali wapinzani wake kutoka St. Vincent na Granadines...Usisahau kuangalia mashindano haya yanayoendelea huko Glasgow Scotland...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment