Thursday 31 July 2014

CHAMPIONS LEAGUE: CELTIC YAGARAGAZWA NA LEGIA


Celtic imegaragazwa vibaya na Legia Warsaw kwenye mechi ya round ya 3 ya kufuzu kucheza Champions League...Isingekuwa kipa Fraser Forster mabao yangekuwa mengi sana...Efe Ambrose alipewa kadi nyekundu baada ya rafu mbaya...Celtic walianza kuona lango la Warsaw lakini walijichanganya na wakalamba 2 kabla ya mapumziko...Game ilimalizika kwa mabao 4-1...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment