Sunday 20 July 2014

AFCON 2015: TAIFA STARS UWANJANI LEO NA MAMBAS


Taifa Stars watinga uwanjani leo kwenye uwanja wa taifa kupambana na 'Mambas' kutoka Mozambique...Hii ni mechi muhimu sana ya round ya pili katika kampeni ya kuelekea AFCON 2015...Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij anakutana na timu yake ya zamani leo...Nooij aliwafundisha Mambas kati ya mwaka 2007 na 2011...Hii ni mara ya 5 timu hizi zinakutana kwenye michuano ya AFCON...Max Sports inawatakia heri Taifa Stars kwenye mechi yao ya leo...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment