Tuesday 15 July 2014

AFRICAN YOUTH CHAMPIONSHIP: TIMU YA TAIFA YA VIJANA WAKO TAYARI KUWAKABILI AMABIMBOS


Serengeti Boys timu yetu ya taifa ya vijana (U-17) ijumaa itaingia uwanjani na vijana wenzao kutoka Afrika ya Kusini...Timu hiyo inayojulikana kama Amajimbos watachuana na Serengeti Boys kwenye mashindano ya awali wa African Youth Championship katika uwanja wa Azam Complex huko Chamanzi Dar es Salaam...Kocha mpya wa Serengeti Boys amesema wamewaweka vijana wake tayari kwa mechi ya ijumaa wakijua kwamba madogo wa Amajimbos wanacheza kwa misuli na kwamba itakuwa mechi ya kutumia nguvu zaidi...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment