Wednesday 30 July 2014

EPL: LUKAKU MBIONI KUBAKI EVERTON


Romelu Lukaku yuko mbioni kuhamia Everton moja kwa moja kwa mkataba wa miaka 5...Habari ambazo ni zakuaminika zimesema Lukaku atachukuliwa kwa kiasi kikubwa...Lukaku ambae anamiaka 21 alikuwa Everton kwa mkopo kutoka Chelsea na toka aingie Everton amefunga mabao 16 msimu uliopita na kuisaidia Everton kuingia Europe baada yamiaka 5...Chelsea ilimnunua Lukaku kutok Anderlecht kwa milioni 18... 

No comments:

Post a Comment