Thursday 31 July 2014

EPL: SPRAY YA WORLD CUP KUTUMIKA PREMIERSHIP



Spray maarufu ambayo ilitumika kwenye World Cup ya mwaka huu huko Brazil kwaajili ya kudhibiti washezaji wasisogee wakati set-piece hasa free-kick itatumika kwenye Premiership msimu ujao...Hii spray ambayo anatembea nayo refa huyeyuka baada ya kutumika...


Boss wa Premiership Richard Scudamore amesema baada ya kuona mafanikio ya kutumia hiyo spray na baada ya kuongea na timu na wadau wa premiership sasa hiyo spray itatumika kwenye msimu ujao...Pia amesema premiership iko tayari kubadilika kama mabadiliko yataisaidia mchezo wa soka...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment