Friday 18 July 2014

EPL: VAN GAAL ASEMA SURA MPYA ZITAKUJA


Kocha mpya wa Manchester United mesema inawezekana sura mpya zikajitokeza lakini hii ni baada ya yeyey kocha kuwaangalia wachezaji aliokuwanao kwanza...Atachukua wiki 3 au 4 kuangalia squad yake itavyojituma chini yake alafu ataamua kama aongeze wachezaji au la...Van Gaal pia amesema ataangalia jinsi ya kuwatumia vizuri Rayan Giggs, Nicky Butt, Phil Neville na Paul Scholes kwenye mambo yake ya ukocha...Angalia hapo chini press conference yake ya kwanza toka ajiunge na club hiyo...


No comments:

Post a Comment