Tuesday 22 July 2014

EPL: STEVE GERRARD ASTAAAFU SOKA LA KIMATAIFA


Steve Gerrard ameamua kustaafu soka la kimataifa baada ya kutumikia nchi yake kwa miaka 14...Gerrard ambae alianza kuitumikia nchi yake mwaka 2000 chini ya kocha makini Kevin Keegan katika ubingwa wa Ulaya...Gerrard ana 114 caps (mechi 114 za kimataifa alizoichezea nchi yake) na game yake ya mwisho ilikuwa dhidi ya Costa Rica...

Kijana Steve akiwa na Kevin Keegan akiwa 

Gerrard amecheza kwenye timu ya taifa ya Uingereza chini ya makocha 6 ambao ni Kevin Keegan, Peter Taylor, Sven Goran-Eriksson, Steve McClaren, Fabio Capello na Roy Hodgson...Katika muda huo amefunga mabao 14...Goli lake la kwanza la kimataifa lilikuwa mwaka 2001 walipoichapa Ujerumani 5-1 huko Munich...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment