Tuesday 15 July 2014

WORLD CUP 2014: KIGEZO CHA MESSI KUSHINDA GOLDEN BALL


Lionel Messi andie aliyeshinda Golden Ball kwenye World Cup iliyomalizika hivi majuzi tu...Sasa wadau wengi hawakutegemea kama Messi angeshinda tuzo hiyo ya mchezaji bora duniani...Hata Sepp Blatter rais wa shirikisho la soka duniani FIFA ameshangaa Messi kushinda tuzo hiyo pia Dieg Maradona nae ameshangaa Messi kuewa tuzo hiyo Maradona anasema James Rodriguez wa Colombia alicheza vizuri zaidi...Ndio imeshangaza wengi lakini takwimu zinasema tofauti...Hebu tafakari hizo takwimu hapo juu ujionee mwenyewe...

No comments:

Post a Comment