Thursday 17 July 2014

EPL: ARSENAL YAIMARISHA KIKOSI TENA KWA KUMCHUKUA DEBUCHY


Mathieu Debuchy sasa ni mchezaji rasmi wa Arsenal FC...The Gunners wameongeza kifaa hichi kipya ili kuimarisha kikosi chake na pia ni baada ya kumnyakua Alexis Sanchez...Debuchy ni full-back hatari sana kutoka Newcastle na pia yuko katika timu ya tifa ya Ufaransa amechukuliwa kwa kiwango ambacho hakijatajwa bado lakini wadu wanasema inawezekana ni milioni 12 pouns za Uingereza...Arsene Wenger amesema Arsenal inafuraha ya kumkaribisha Debuchy Arsenal FC...Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment