Tuesday 29 July 2014

GLASGOW 2014: OKAGBARE ASHINDA MBIO ZA MITA 100


Blessing Okagbare kutoka Nigeria ameshinda mbio maarufu za mita 100...Okagbare alitumia muda wa sekunde 10.85...Aliwashinda wenzake kutoka Jamaica Veronica Campbell-Bown na Kerron Stewart ambao walipata Silver na Bronze wa 4 alikuwa Asha Philip kutoka Uingereza...Okagbare ambae anamiaka 25 atakimbia mita 200 na long jump pia...Mpaka sasa Nigeria wana 10 medals...

No comments:

Post a Comment