Saturday 26 July 2014

F1: GARI YA HAMILTON YAWAKA MOTO


Gari ya Lewis Hamilton imewaka moto katika practice ya mwisho kabla ya mashindano ya Hungary GP kesho...Nico Rosberg ataanza kwenye pole na hii sio habari njema kwa Lewis kwani anapoteza points ambazo zingemwezesha kuwa bingwa...Hii ni mara ya 6 sasa Lewis anapata matatizo kwenye qualifying na kukosa nafasi ya kwanza...Mercedes wanasema wanadhani Hamilton alipata tatizo la kuvuja kwa mafuta...Bofya hapa upate habari zaidi...


No comments:

Post a Comment