Monday 21 July 2014

EPL: LIVERPOOL IKO MBIONI KUMYAKUA LOIC REMY


Liverpool sasa inahakikisha kikosi chake kiko imara kwa kumtaka mfaransa Loic Remy kutoka QPR...Remy alikuwa Newcastle kwa mkopo baada ya QPR kuwa relegated na pia alikuwa kwenye squad ya timu ya taifa ya Ufaransa iliyofika robo fainali kwenye World Cup huko Brazil...Huyu dogo alimaliza ligi na magoli 14...Huu ni wakati mzuri hasa kwakuwa Liverpool ilimwachia Fabio Borini aondoke kwa pound milioni 14 hivi majuzi tu...Remy atachukuliwa na timu hiyo ya Merseyside huko kaskazini magharibi kwa pound milioni 8.5...Bofya hapa upate habari zaidi... 

No comments:

Post a Comment